Wapendwa mimi ni mpenzi mkubwa wa kusoma vitabu...napendelea zaidi vitabu vyenye kutoa mafunzo mbalimbali ya kimaisha,pia vitabu vinavyowahusu watu mashuhuri duniani ninaowapenda na pia napenda kusoma detective novels...
Ndio kwanza nimemaliza kusoma kitabu cha mzee Mandela kinaitwa LONG WALK TO FREEDOM...Sijutii muda wangu niliotumia kusoma hichi kitabu...
I love Nelson Mandela...nampenda sana huyu baba kila mtu wangu wa karibu ukimuuliza Edina anampenda kiongozi gani hapa duniani watakutajia mzee Mandela...ninakosa raha nikisikia anaugua na mara kwa huwa namfanyia maombi yakumpatia afya njema...Siku nyingi tokea niko secondary nilikua na ndoto ya kwenda Robben Island kutembelea gereza alilofungwa Mandela kwa miaka 27...Mungu ni mwema mwakan nitakwenda Afrika Kusini kutimiza ndoto yangu hiyo...I cant wait...
Hapa chini ni baadhi ya maneno ya mzee Mandela yaliyonifurahisha na kunifundisha na kunitafakarisha sana ambayo yanapatikana katika hichi kitabu,
''It was during those long and lonely years that my hunger for the freedom of my own people became a hunger for the freedom of all people, WHITE and BLACK. I knew as well as I know anything that the oppressor must be liberated just as surely as the oppressed. A man who takes away another man’s freedom is a prisoner of hatred, he is locked behind the bars of predjudice and narrow-mindedness...''
Pia maneno yafuatayo yanapatikana katika kitabu hichi,
''No one is born hating another person because of the color of his skin, or his background, or his religion. People must learn to hate, and if they can learn to hate, they can be taught to love, for love comes more naturally to the human heart than its opposite''

